Habari za wakati huu wanajamiiforums wenzangu,,,!
Ni matumaini yangu kuwa mko powa na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa Taifa letu.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata joining instructions ya Ilonga Teachers College ya mwaka huu anitumie kupitia email hii:-kanjuathuman@gmail.com kuna ndugu yangu kapangwa chuoni hapo na uwezekano wa kuipata hiyo form kupitia anuani ya posta ni mgumu.
Ahsanteni.
Ni matumaini yangu kuwa mko powa na mnaendelea vema na majukumu yenu ya kila siku katika ujenzi wa Taifa letu.
Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata joining instructions ya Ilonga Teachers College ya mwaka huu anitumie kupitia email hii:-kanjuathuman@gmail.com kuna ndugu yangu kapangwa chuoni hapo na uwezekano wa kuipata hiyo form kupitia anuani ya posta ni mgumu.
Ahsanteni.