Msaada joint zinasugua

Msaada joint zinasugua

G M S

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
502
Reaction score
53
Wakuu msaada wenu please nina matatizo ya joint za kiuno zinasumbua sana kunakuwa na kama msuguano hasa upande wa kulia na hii imenianza baada ya kumaliza dozi ya sindano za kwinini.

Sijui itakuwa zile dawa zimenyonya majimaji msaada pls kwasabu kupanda ngazi na kunyanyua miguu sana napata maumivu.
 
pole sana ndugu yangu nakushauri nenda pale mnazi mmoja anatoglu hospital kuna kitengo kinashughulikia mambo hayo uenda pingili za mgongo zimeachia au uenda hiyo dawa imesababisha hayo pole sana i
Wakuu msaada wenu pls nina matatizo ya joint za kiuno zinasumbua sana kunakuwa na kama msuguano hasa upande wa kulia na hii imenianza baada ya kumaliza dozi ya sindano za kwinini,, sijui itakuwa zile dawa zimenyonya majimaji msaada pls kwasabu kupanda ngazi na kunyanyua miguu sana napata maumivu,, ,
 
Ok akhsante kwa ushauri ladyfurahia ila mi sipo dar nipo mkoa wa mbeya,,
 
Back
Top Bottom