Msaada: Jua limeharibi dashbord la kwenye gari yangu. Nifanyeje kutengeneza?

Msaada: Jua limeharibi dashbord la kwenye gari yangu. Nifanyeje kutengeneza?

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
Wakuuu habari za asubuhi,

Naomba msaada

Jua limeharibi dashbord la kwenye gari yangu.

Nimehangaika kutafuta spray.

Yoyote ile itayoweza kusaidia ku repair damage lakini madukani hakuna.

Kubwa wananambia piga polish.

Ukipiga polish damage haiondoki.

Je, wakuu nini cha kufanya ili muoonekano wa dashbord urudi kama zamani?

Asanteni
 
Shukran wakuu kwa msaada wenu nitachukuwa ushauri wenu
 
Miye ile ya kusoma Km/h imekufa siku inasoma siku haisomi. Sababu wanasema jua parking ni majanga
 
Back
Top Bottom