Masuonline
Senior Member
- Jun 4, 2013
- 192
- 17
Habarini wana jf,ndugu zangu napenda kufahamu kama mtu mwenye certificate ya nursing anaweza kujiendeleza na kuwa chrinical officer ama chrinical medicine na kama ndio je itamchukua mtu miaka mingapi kusomea.asanteni sana ndugu zangu.
Kama baaada ya kumaliza diploma ya nursing hujui kuandika clinical nakuomba achana na kazi ya tiba na ufungue ka grocery kunusuru maisha ya watanzania wenzetu.
Asante kwa hii hoja, siku anafungua hiyo grosare nitakupa ofa ya kreti nzima tumuungishe kunyanyua mtaji
Habarini wana jf,ndugu zangu napenda kufahamu kama mtu mwenye certificate ya nursing anaweza kujiendeleza na kuwa chrinical officer ama chrinical medicine na kama ndio je itamchukua mtu miaka mingapi kusomea.asanteni sana ndugu zangu.
Habarini wana jf,ndugu zangu napenda kufahamu kama mtu mwenye certificate ya nursing anaweza kujiendeleza na kuwa chrinical officer ama chrinical medicine na kama ndio je itamchukua mtu miaka mingapi kusomea.asanteni sana ndugu zangu.
Hapana, si kweli,kuwa ukiingia na form six ni two years, its three(3) years no matter what!!Clinical officer ukiwa form four au six? Form four ni 3 years na form six ni two years, ukiwa na certificate ya Nursing basi hiyo itakurahisishia kwenye masomo yako kwani vitu vingine utakuwa umevisoma kwenye Nursing course, obviously utafanya vizuri kuliko anayeanza afresh
Kaandika kwa kiswahili nadhani.
na mimi najitolea boksi tatu za viroba.
grosare=grocery.
King'asti nawe!!!!??