Msaada juu ya electronic and communication engineering

kinota

Member
Joined
Feb 8, 2012
Posts
41
Reaction score
3
Jamani naomba mnijuze wana jamii hii coz inalipa katika ajira? na naweza fanya kazi maeneo yapi wakuu, na je? katika kujiajiri ikoje?
 
Hiyo coz iko st.joseph tu unajua wale wanaiita hivyo kutokana na mitaala ya India so ukiingalia kiundani ni kama telecom ya udsm ila ninachokifahamu telecom ni ka part tu ka communication so yenyewe iko wide kiaina, alafu ukifika pale chuoni utakuta ghorofa yao moja imeandikwa kwa maandishi makubwa SCHOOL OF ELECTRONICS AND TELECOMMUNICATION ENGINEERING so mkuu kwa maneno mengine naweza kusema ile ni Telecom so tegemea kufanya kazi kama TELECO ENGINEER. Hayo ni maoni yangu
 
iko poa...naiman kama mdau alivosema hapo juu ipo st joseph...cha mwimu kapige msuli!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…