Msaada juu ya Fog lights zangu

Msaada juu ya Fog lights zangu

chilubi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,188
Reaction score
6,244
Habari wadau,

Hii thread sijajua nieke jukwaa lipi.....
Anyways, nilinunua fog lights kwa ajili ya gari yangu, hizi fog lights ni Zina LED Bulbs kisha zina round ring (angel eyes) ambayo pia ni LED bulbs. Sasa wakati nipo nafundi tunafunga, tumeunganisha ile wire ya round ring pamoja na ya parking, ziliwaka bulbs zote vizuri, tukaamua tuipachike tuifunge, tulipoiwasha tena mambo yamebadilika, sasa baadhi ya zile bulbs zinawaka vizuri nyengine zinpwesapwesa, nyengine muangaza hafifu. Tatizo ni nini wakuu? nimejribu kugoogle nimeona ishu kuhusu polarity, mimi si mtaalamu wala sijui polarity nini.... watu wa wiring ama yoyote mweny uelewa msaada jamani.

Asanteni
 
Habari wadau,

Hii thread sijajua nieke jukwaa lipi.....
Anyways, nilinunua fog lights kwa ajili ya gari yangu, hizi fog lights ni Zina LED Bulbs kisha zina round ring (angel eyes) ambayo pia ni LED bulbs. Sasa wakati nipo nafundi tunafunga, tumeunganisha ile wire ya round ring pamoja na ya parking, ziliwaka bulbs zote vizuri, tukaamua tuipachike tuifunge, tulipoiwasha tena mambo yamebadilika, sasa baadhi ya zile bulbs zinawaka vizuri nyengine zinpwesapwesa, nyengine muangaza hafifu. Tatizo ni nini wakuu? nimejribu kugoogle nimeona ishu kuhusu polarity, mimi si mtaalamu wala sijui polarity nini.... watu wa wiring ama yoyote mweny uelewa msaada jamani.

Asanteni
Mkuu hizo ni kazi za watu, kama uko Dar kesho ninda pale Lumumba wakakuwekee sawa.. au wasiliana na fundi wako aje amalizie kazi yake bila shaka bado ni maintenance period hakuna malipo juu yake
 
M
Mkuu hizo ni kazi za watu, kama uko Dar kesho ninda pale Lumumba wakakuwekee sawa.. au wasiliana na fundi wako aje amalizie kazi yake bila shaka bado ni maintenance period hakuna malipo juu yake
Mkuu huyu fundi nilinunua HID lights kwake kanifungia zinawaka fresh, sasa mimi nilikuwa nina hizo fog light zangu ambazo nilinunua nje ya nchi (nilizitest uko zilikuwa zinawaka vizuri tu), nimekosa raha kwa kweli, huwa najiuliza sijui ni bad connection au LED bulbs ndo zishabuma hizo......
 
M

Mkuu huyu fundi nilinunua HID lights kwake kanifungia zinawaka fresh, sasa mimi nilikuwa nina hizo fog light zangu ambazo nilinunua nje ya nchi (nilizitest uko zilikuwa zinawaka vizuri tu), nimekosa raha kwa kweli, huwa najiuliza sijui ni bad connection au LED bulbs ndo zishabuma hizo......
Fog light? Do we have fog here?kama huishi Iringa or Mbeya its nonsense
 
Fog light? Do we have fog here?kama huishi Iringa or Mbeya its nonsense
hata kama hakuna fog hizi foglights zinasaidia usiku haswa katika barabara ztu uku visiwani zipo kiza sana zinaniongzea mwangaza na zinanisaidia nikiwa mwendokasi
 
M

Mkuu huyu fundi nilinunua HID lights kwake kanifungia zinawaka fresh, sasa mimi nilikuwa nina hizo fog light zangu ambazo nilinunua nje ya nchi (nilizitest uko zilikuwa zinawaka vizuri tu), nimekosa raha kwa kweli, huwa najiuliza sijui ni bad connection au LED bulbs ndo zishabuma hizo......
Acha ujinga weweeeeeeeeee,naona unataka kutuletea mdabwidooooo au vipi? kama ni light nenda kwa wataalamu,au ishia shimoni mjusi wewe au?
 
Acha ujinga weweeeeeeeeee,naona unataka kutuletea mdabwidooooo au vipi? kama ni light nenda kwa wataalamu,au ishia shimoni mjusi wewe au?

,,!,, Unajua matumizi ya forum wewe limbukeni? kusingekuwa na posts humu ndani.... hebu jikaz kidogo eti mdabwidooooo kalia cha kati ,,!,,
 
pole sana mkuu upo wapi na kama hilo tatizo bado hujalitatua nitafute


tulitatue
 
Si ndo hao malimbukeni wa mitandao, washazoea fesbuku hawajui what is a forum, mi mwenyewe nimemshangaa utafikiri kalazimishwa :-D
Hawa watu wanaboa sana,afadhali umempa cha moto....kujitia ujuaji mwingi kumbe mfesibuku ...Thanx kiongoz
 
pole sana mkuu upo wapi na kama hilo tatizo bado hujalitatua nitafute


tulitatue
niko pande za Visiwani huku, jana nimejaribu kuzifungua kutizama kama ndani ya hio angel eye kuna loose connection but cnnection iko vizur, nafikiri itakuwa vile vi LED vimekufa...... nimevunjika moyo kwa kweli
 
Hawa watu wanaboa sana,afadhali umempa cha moto....kujitia ujuaji mwingi kumbe mfesibuku ...Thanx kiongoz
Alitakiwa atulie tu lakini ana kiherehere kama mjane
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
Back
Top Bottom