burhanikassimu
Member
- Jul 28, 2016
- 10
- 0
Mkuu iyo kozi me siku shauri kabisa kwani umesoma comb gani KwanzaaHabar WanaJF. Naombeni msaada juu ya hiyo course inahusu nini, waweza ajiriwa Kama nani, soko lake ajira na je, ni chuo gani kiko vizur kwenye hiyo course Kati ya NIT & SAUT. Maelezo zaid namba yangu hii hapa waweza nichek 0718182848
Hiyo Bachelor of Adult Education and Community development ndio fani pekee bora kabisa kwako katika hicho chuo, kwa sababu mbili tu.Vp kuhusu Bachelor of Adult Education and Community development mana ndo iliyobak kwenye TCU ambayo nimeplan kusoma kweny chuo cha Institute of Adult Education
hajakuambia umshauri bt anataka ufahamu kuwa ina deal na nini maana kapendezwa na jinaMkuu iyo kozi me siku shauri kabisa kwani umesoma comb gani Kwanzaa
🙏Kama nyota yako haing'ai, hiyo kozi usiguse kabisa...