brave_3
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 1,186
- 705
Habari za sahizi wakuu.
pasipo kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye ishu husika
Nina dada yangu amezaa mtoto mmoja,baada ya kuzaa akaji ingiza kwenye uzazi wa mpango. njia anayo tumia mi ya sindano ya DEPO.mwezi wa pili sasa haja ziona siku zake, na pia mate yana jaa sana mdomoni.
Sasa je sindano ya Depo ina uwezo wa kuzuia mimba?
na kama Depo inazuia mimba je tatizo la hedhi kusimama linatokana na nini?
na mate kujaa mdomoni sio dalili ya mimba au ndio hiyo sindano inayo msababishia hivyo?
NITAFURAHI KAMA NITAPATA MAJIBU TOKA KWENU . ASANTENI
pasipo kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye ishu husika
Nina dada yangu amezaa mtoto mmoja,baada ya kuzaa akaji ingiza kwenye uzazi wa mpango. njia anayo tumia mi ya sindano ya DEPO.mwezi wa pili sasa haja ziona siku zake, na pia mate yana jaa sana mdomoni.
Sasa je sindano ya Depo ina uwezo wa kuzuia mimba?
na kama Depo inazuia mimba je tatizo la hedhi kusimama linatokana na nini?
na mate kujaa mdomoni sio dalili ya mimba au ndio hiyo sindano inayo msababishia hivyo?
NITAFURAHI KAMA NITAPATA MAJIBU TOKA KWENU . ASANTENI