Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza kwa mwana jamvi yeyote Alie na uelewa na hii campuni ya Tpurchase ambayo inajihusisha na online investment Kisha kurudishiwa asilimia 40 ya pesa uliowekeza baada ya siku Saba..anijuze zaidiii maana humu ndo Kuna ma great thinkers wa kutosha.
Naomba unieleweshe zaidi juu ya hii kitu ili Kama nikuokoa niokoe wengi maana inakuja Moto Sana kwani kukimbia tatizo sio njia rasimi ya kutatua tatizo..
Je ni uwekezaji gani huo unaofanyika wa kimtandao??
Fafanua ni ninihasa wanafanya hao tpurchase hadi waweze kukupa rejesho la faida ndani ya muda mfupi?
Je kuna wengine unaowafahamu walio wekezeza t.purchase na wamepata mafanikio ambayo wewe unayatamani??