Msaada juu ya Kozi ya Business Administration with Education

Msaada juu ya Kozi ya Business Administration with Education

Benny13

Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
32
Reaction score
6
Habari wanajamvi! Kuna mdogo wangu ni Mwalimu wa ngazi ya Diploma katika Shule ya Msingi. Ameajiriwa miaka ya karibuni. Anataka kujiendeleza kielimu Open University katika kozi ya Bachelor of Business Administration with Education huku masomo ya kufundishia yakiwa ni Bookeeping na Commerce . Ila baadhi ya watu wanamwambia baada ya kumaliza kozi hiyo hatoweza kubadilishiwa Muundo/ daraja katika utumishi wake japokuwa kozi hii huzalisha walimu wa biashara na ipo katika Faculty ya Education. Sasa naomba msaada kwa yoyote anayefahamu uhalali wa hii kozi kwa walimu.

Natanguliza shukrani.
 
Atabadilishiwa muundo bila shida yoyote as long as ana hiyo WITH EDUCATION.
 
Bachelor of science with education(atafundisha masomo ya sayansi na hisabati)

Bachelor of arts with education (atafundisha masomo ya sanaa)

Bachelor of business administration with education( atafundisha masomo ya biashara)

Bachelor of islamic studies with education( atafundisha masomo ya elimu ya dini ya kiislam)
 
Kwanini anataka kuendelea na ualimu? Huoni nyuzi humu zilivyonyingi zikiwazungumzia?
Anashindwa vipi kusoma Accounts ama Finance?
Kataa ualimu kwa level nyingine tena. Diploma imetosha!
 
Habari wanajamvi! Kuna mdogo wangu ni Mwalimu wa ngazi ya Diploma katika Shule ya Msingi. Ameajiriwa miaka ya karibuni. Anataka kujiendeleza kielimu Open University katika kozi ya Bachelor of Business Administration with Education huku masomo ya kufundishia yakiwa ni Bookeeping na Commerce . Ila baadhi ya watu wanamwambia baada ya kumaliza kozi hiyo hatoweza kubadilishiwa Muundo/ daraja katika utumishi wake japokuwa kozi hii huzalisha walimu wa biashara na ipo katika Faculty ya Education. Sasa naomba msaada kwa yoyote anayefahamu uhalali wa hii kozi kwa walimu.

Natanguliza shukrani.
Kwa kifupi tuu kuhusu hii kozi akitaka kuwa vizuli asome na CPA hapa sasa anakuwa na uwanja mkubwa katika ajira kwa kufanya kazi kama muhasibu,mwalimu,mkaguzi,financial controller, auditor,mwalimu wa accounts chuo, mwalimu wa accounts advanced ,

Walimu wengi wa book keeping na commerce baada ya kumaliza hii kozi hujiunga kosoma CPA wengi wao wakishahitimu huamishwa Manisipa Baraza la mitihani na sekta zingine serikalini na hii ndio sababu kubwa kupelekea masomo haya kukosa walimu baada ya muda huenda kufanya kazi za wahasibu

Ushauli wangu kwa dogo mwambie apambane hii kozi imesimama ni kozi ya ualimu yenye uhasibu ndani yake ambayo ili usimame vizuli inahitajika usome CPA na cpa inahitaji uwe serious

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajamvi! Kuna mdogo wangu ni Mwalimu wa ngazi ya Diploma katika Shule ya Msingi. Ameajiriwa miaka ya karibuni. Anataka kujiendeleza kielimu Open University katika kozi ya Bachelor of Business Administration with Education huku masomo ya kufundishia yakiwa ni Bookeeping na Commerce . Ila baadhi ya watu wanamwambia baada ya kumaliza kozi hiyo hatoweza kubadilishiwa Muundo/ daraja katika utumishi wake japokuwa kozi hii huzalisha walimu wa biashara na ipo katika Faculty ya Education. Sasa naomba msaada kwa yoyote anayefahamu uhalali wa hii kozi kwa walimu.

Natanguliza shukrani.
BAED
 
Back
Top Bottom