Msaada juu ya kutoa pesa iliyotumwa kwa sms M-Pesa

Msaada juu ya kutoa pesa iliyotumwa kwa sms M-Pesa

Enock P T

Member
Joined
Nov 20, 2019
Posts
8
Reaction score
20
Kuna mteja alikuja kibandani kwangu akihitaji kutoa hela yake iliyokuwa imetumwa kwa njia ya sms kwenye simcard yake ya Vodacom, mimi kama wakala wa M-Pesa nikawa nimepata ugumu namna ya kumtolea hela hela yake, mwenye uelewa tafadhali anipe upeo.
 
Kuna mteja alikuja kibandani kwangu akihitaji kutoa hela yake iliyokuwa imetumwa kwa njia ya sms kwenye simcard yake ya Vodacom, mimi kama wakala wa M-Pesa nikawa nimepata ugumu namna ya kumtolea hela hela yake, mwenye uelewa tafadhali anipe upeo.
Hauko serious.
 
Kuna mteja alikuja kibandani kwangu akihitaji kutoa hela yake iliyokuwa imetumwa kwa njia ya sms kwenye simcard yake ya Vodacom, mimi kama wakala wa M-Pesa nikawa nimepata ugumu namna ya kumtolea hela hela yake, mwenye uelewa tafadhali anipe upeo.
Chukua simu yako ya wakala nenda huduma za kifedha, kutoa pesa, ingiza namba za simu (simu iliyoyumiwa iyo Hela kwa sms) halafu weka neno la Siri lililopo kwenye sms halafu utaweka utambulisho wako wa msaidizi halafu utamalizia na namba yako ya Siri ya wakala Hela itatoka wote mtapata sms ya Hela kutoka.
 
Chukua simu yako ya wakala nenda huduma za kifedha, kutoa pesa, ingiza namba za simu (simu iliyoyumiwa iyo Hela kwa sms) halafu weka neno la Siri lililopo kwenye sms halafu utaweka utambulisho wako wa msaidizi halafu utamalozia na namba yako ya Siri Hela itatoka wote mtapata sms ya Hela kutoka.
shukrani sana

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mteja alikuja kibandani kwangu akihitaji kutoa hela yake iliyokuwa imetumwa kwa njia ya sms kwenye simcard yake ya Vodacom, mimi kama wakala wa M-Pesa nikawa nimepata ugumu namna ya kumtolea hela hela yake, mwenye uelewa tafadhali anipe upeo.
Sorry hayo maelezo hapo juu ni kutoa Hela mpesa, huyo mteja Yuko na sim card ya Voda maana yake Hela(sms) iliyoingia kwenye hiyo chip haikutoka mpesa yaani aliyemtumia yeye alituma kutoka mtandao mwingine (Airtel money, tigopesa, halopesa, T-pesa au Z-pesa) bila kuchagua mpesa ndo maana Hela ikaenda kama sms.

Hivyo bas angalia hiyo Hela imetoka mtandao gani, huo mtandao hauwezi kuwa mpesa sababu mteja Yuko na sim card ya Voda na Hela imetoka mtandao mwingine.

Ukishajua Hela imetoka mtandao gani(angalia hiyo sms ya Hela) then chukua simu yako ya wakala ya huo mtandao Hela ilikotoka halafu fuata maelekezo kama nilivoelekeza hapo juu utaweza kutoa Hela hizo za sms.

NB: hapo juu nimekuelekeza kutoa Hela za sms mpesa, maelekezo yanafanana ila steps hazifanani mitandao mingine ila tofauti ni ndogo sana huwezi kushindwa kama umeelewa hapo juu.
 
Chukua simu yako ya wakala nenda huduma za kifedha, kutoa pesa, ingiza namba za simu (simu iliyoyumiwa iyo Hela kwa sms) halafu weka neno la Siri lililopo kwenye sms halafu utaweka utambulisho wako wa msaidizi halafu utamalizia na namba yako ya Siri ya wakala Hela itatoka wote mtapata sms ya Hela kutoka.
Umetisha sanaa ndugu WAKALA MWENZANGU..!!!

#YNWA
 
Back
Top Bottom