Msaada juu ya kuwa dereva wa Bolt/Uber

Msaada juu ya kuwa dereva wa Bolt/Uber

Shimaje

Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
86
Reaction score
47
Ninategemea kuwepo dsm kwa miezi mitatu , nina miliki Gari ndogo Toyota Wish sasa issue inayonileta mjini ni masaa 8 per day kuanzia saa 9 nakua free na weekends nakuwa free sasa nawaza huo niwe napiga kazi ya uber/bolt kuingiza chochote kitu. Sasa sijui taratibu zake za kujiunga zinakuaje na nina leseni class D. Yeyote mwenye uzoefu na issue hii anisaidie wakuu
 
Unatakiwa uwe na driving license, latra, chombo cha usafiri kilichosajiliwa, kadi ya chombo cha usafiri na kama huna latra bolt wanakupa mwezi mmoja baada ya hapo kama ujafanikisha unakula bann matata

Mkeka wangu wa bajaj huo
Screenshot_2025-02-18-18-22-13-698-edit_ee.mtakso.driver~2.jpg
 
Back
Top Bottom