Msaada juu ya madhara ya masturbation kwa watoto wa kike

levo

Member
Joined
Feb 8, 2017
Posts
7
Reaction score
5
Ni kipindi sasa ninahitaji kufahamu madhara ya masturbation kwa wasichana ktk nyanja zote.

Kisaikolojia,kiafya,kimwili pia kiroho?
 
Hasara ni nyingi Sana za masturbation kwa mtoto wa kike kwanza kuzikomaza sehemu zake za siri K kwa sababu ya vitu ambavyo Mara nyingi hutumia ni vigumu tofauti na uume mf mbao, tango, wengne hutumia upinde wa meza au maji ya moto hupelekea sugu maeneo nyeti, piah kisaikolojia mwanamke aliyezoea mchezo huu hatockia raha au hisia zzte akikutana na mwanaume maana ameshazoea kujimalizia haja mwenyewe tena ni hatari zaid kwa mwanamke maana kwenye hili tendo hutumia hisia zaidi hivyo ataharibu saikolojia yake piah ni dhambi japo kudhini napo ni dhambi piah
 
Imejitosheleza kwa kweli[emoji106]
 
Hakuna madhara wewe fanya tu kwa raha zako,,.
 
Komaa tu utaona faida siku ya kuingia kwenye ndoa
 
Wooooow... Tx Amos... 4 being positive to my question... Nmekuelewa sana...u a educated...
 
Wataathirika kisaikologia hata wakat wanadoo mchezo na boy isia zao azitakuwa kwa boy bali kwenye kujisaga tu so utam wa mchezo unaisha.

Atataka tu kujisaga mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…