Msaada juu ya manunuzi bidhaa za jumuiya

mavangah

Senior Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
113
Reaction score
23
Habar ya muda huu wakuu..km heading inavyojeleza naomba kujulishwa kuhusu ununuaj wa bidhaa za jumuia maana niko nje ya mkoa wa dar_nmewasiliana nao wananiambia nitume pesa thn ndan ya cku 3 mzigo utanifikia. Naomba kujua kuhusu ubora wa vitu vyao, na yyte mwenye experience na huduma hii. Shukran za dhati kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…