Sio nzuri kwa muonekano ila inafaa sana kwa matumizi uliyosema na budget.Mkuu kwann ist sio nzuri mbona ziko nyingi na wengi wanasema hazir mafuta pia nataka niwe nafanya hata tax bubu sometimes
Asante mkuu ndio lilikuwa wazo langu nimekupata vyemaSio nzuri kwa muonekano ila inafaa sana kwa matumizi uliyosema na budget.
Hapo kwenye Taxi bubu naomba ujifikirie mara mbili.
Najua unamaanisha ile unarudi home unapitia kituoni hafu unapakia abiria wanne buku 2 kila mmoja unaoata buku 8 si nsio?
Mkuu unachakaza gari knm.
Bora upambane utafute gari ya Mil 10 hafu hiyo Mil 1 ununue bodaboda iwe inakupa buku 10 kila siku ya kuhudumia gari siku ukiwa haupo vizuri.
Karibu sana mkuu nikuhudumie kwa gari used mpaka mpya budget kuanzia 5m mpaka 400m karibu sana kwa ushauri na uchaguzi.Wakuu, hongereni na poleni na majukum ya kimaisha.
Mimi katika harakti zangu za kimaisha sijawahi kumiliki gari hata siku moja,ila nimejichanga ninakiwango cha kiasi kama milioni 11 ya uhakika amabyo ninayo hapa.
Nilikuwa nahitaji gari ndogo ya kuanzia maisha snasana nilitamani ist..sababu kuna rafiki yangu anayo na nzuri sana..ila simuamini.
Je, hatua ya kwanza ni ipi,ni wapi pazuri nitanunua nahitaji mpya
kuhusu kuendesha sina tatizo kabisa naweza kununua mahari popote nikafikanayo mkoani.
Nawatakia sikukuu njema nataraji muongozo sahihi kabla ya kufanya maamuzi
Natilia mkazo hapa...Ushauri tu unisinunue gari used iliyotumika bongo Nenda be forward agiza gari huko Mkuu
Rush aipate kwa 11M? Itakuwa katika hali gani?Chukuabtoyota rush, ina cc 1490 na ni imara sana
Nunua range rover discovery 3Binafsi huwa napenda gari za juu juu, hizi za chini naona kama sipo kwenye gari; nunua kile kitu moyo wako unataka, iwe mpya, used n.k kuhusu matumizi ya mafuta, itategemea na chaguo lako; ila chakula cha gari ni mafuta
Aongeze kidogo sasa hivi magari yapo kwenye ofa bei zimeshukaRush aipate kwa 11M? Itakuwa katika hal gani?
Aongeze kidogo sasa hv magari yapo kwenye ofa bei zimeshuka
Ndio gari gani hii?Nunua range rover discovery 3
Land rover discovery 3Ndio gari gani hii?