WanaJF naombeni msaada wenu kuhusu Chuo Kikuu cha Mount Meru University eti pia kinatoa stashahada ya ualimu kwa walimu wa grade A wenye at least D 5 cheti cha O-level ila nasikia ukifika unatakiwa kufanya mtihani wa A-level kwanza huku ukiendelea kusoma masomo ya stashahada?Ni kweli wanaJF?Kama kuna yeyote anajua kuhusu hili swala basi naombeni msaada wa hali na mali pia naomba na anuani yao!NAWASILISHA KWENU NDUGU ZANGU.