Msaada juu ya mwanamke aliejifungua kwa upreshini.

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
613
Reaction score
313
Jamani kuna rafiki yangu mke wake amejifungua kwa upreshini ni mwezi wa 3 sasa na mke wake amerudi kwake juzi pamoja na kitoto chake.

Tatizo ni kua unajua tena mwanamke na mwanamme yawakai pamoja sasa mume anataka apewe haki yake na mke anasema kua upresheni wake ulikua ni mkubwa kwa hio kaambiwa akae kwa miezi 6.

Suali ni jee kwa upresheni huo jamaa haruhusiku kugegeda kwa miezi 6 au asibebe ujauzito kwa miezi hio?
Au anaweza kugegeda ili wawe makini kwani fuko la uzazi litakua halina uwezo wa kukaa mtoto.

Mitazamo yote naisubiria ya kiafya kidini kijamii na mitazamo binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…