Ndugu wanajamii forum.mm ni mtumishi .nlikopa mkopo benk ya posta.sasa nmepata hela ya kuwalipa mkopo wao.lakini.wanagoma kutoa riba.wanataka nlipe yote.naomba mnisaidie ni sawa .au ni ujanja ujanja tu.
Upo karibu na tawi gani la benki ya posta? Kitu ambacho unatakiwa kufanya ni kuuliza outstanding balance ya mkopo wako ni sh ngapi kwa Tarehe husika na hapo ndipo uta deposit hicho kiasi chote cha pesa riba haiwezi kuhesabiwa yote mpaka ya miezi yote iliobakia ,