Msaada juu ya nguo za mitumba

Msaada juu ya nguo za mitumba

kivulini

Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
73
Reaction score
40
salam kwenu wanajamnvi..!!!
Wadau naomba msaada wenu kwa yeyote anayejua ni wapi zinapatikana mabalo/marobota mazuri ya nguo mixer za watoto kuanzia O-5 ya grade ya kati na pia naomba kwa anayejua ni sehem gani naweza kupata soko zuri nikimaanisha sehem nzuri ambayo naweza kuuza na mzigo ukawa na mnguzuko mzuri na wa haraka maana mimi sina uzoefu kabisa na biashara hii ila katika kuuliza uliza nimeambiwa inalipa japo sijui changamoto zake!!
Mimi nipo Dar na nipo tayari kuuza popote hata kama ni kwenye minada iliyopo pembezoni mwa mji au hata kama ni nje ya mji ilimradi inalipa bajeti yangu ni tsh 400,000/=
Hivyo wakuu naomba msaada wenu kwa yeyote anayeweza kunipa mwangaza kwenye hili ili na mimi niweze kujikwamua kiuchumi!!
Pia nakaribisha mchango wowote wa utakaoniwezesha kujikwamua kiuchumi kwa kua ninaweza kubadilika kulingana na hali na wakati!!
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wote watakaoguswa na hili!!
 
wakuu naombeni sana mpitie uzi huu kwani nahitaji sana msaada wenu kwenye hili...!!
 
watakuja sasa hivi wajuzi wa biashara hiyo kukupa uzoefi.........keep waiting.......
 
mhhh mkuu iyo biashara sio kama nyama buchani aseeh apo lazima upate wazoefu wakupe ramani wakupeleke wanapo nunua wao at least inaweza kukusaidia mana unaweza nunua balo la pesaa nyingi wakakupigaa wakakuwekea baloo la malonyaa matupuu wale jamaa wabaya sana ila yanapatikana kwa wingi tu hapa mjin ukienda mnazi mmoja yapo ya kutosha tuu
 
mhhh mkuu iyo biashara sio kama nyama buchani aseeh apo lazima upate wazoefu wakupe ramani wakupeleke wanapo nunua wao at least inaweza kukusaidia mana unaweza nunua balo la pesaa nyingi wakakupigaa wakakuwekea baloo la malonyaa matupuu wale jamaa wabaya sana ila yanapatikana kwa wingi tu hapa mjin ukienda mnazi mmoja yapo ya kutosha tuu

ni kweli mkuu ndo maana nimekuja apa ili nipate msaada kwa wenye uzoefu nayo maana najua nikikurupuka itakula kwangu
 
Back
Top Bottom