oxlade JF-Expert Member Joined Jul 8, 2012 Posts 601 Reaction score 96 May 15, 2014 #1 naomba mnisaidie juu ya sababu zinazopelekea ULUMBI kutokea. msaada sana jamani
H hukumundo JF-Expert Member Joined Oct 8, 2011 Posts 850 Reaction score 438 May 25, 2014 #2 Kwa sababu ya muktadha wenye lugha zaidi ya moja na kujikuta mtu anahitaji umilisi wa kiasi fulani katika lugha hizo.
Kwa sababu ya muktadha wenye lugha zaidi ya moja na kujikuta mtu anahitaji umilisi wa kiasi fulani katika lugha hizo.