Habari wanajamvi, naomba ufafanuzi juu ya jambo hili. Mimi ni mwalimu ambaye niliajiriwa mwaka 2008 nikiwa kati ya wale walimu wa "crash program" . Baada ya kufanya kazi miaka miwili kama zilivyotaratibu za utumishi niliomba kwenda kujiendeleza,mwaka wa masomo 2011/2012 nilianza masomo udsm na nimehitimu mwaka huu.
Hivi majuzi nimechukua transcript ili nipeleke kwa mwajiri kwa ajili ya kupata tsd namba na marekebisho ya mshahara.Maswali yangu ni kuwa
1. Je nitafanikiwa kupata tsd namba nikiwa na
transcript ama mpaka niwe na cheti?
2. Kuna tetesi ambazo nimesikia kuwa siwezi
kufanyiwa marekebisho yoyote ya mshahara
mpaka nipeleke cheti je ni kweli?
3. Pia nimepata tetesi kuwa hata nikipeleka cheti
lakini itanilazimu kuajiriwa upya kama mtu
anayeanza kazi upya na wala hawata-consider
miaka niliyofanya kazi,je ni kweli?
Samahani kwa maelezo marefu, lakini naamini yatasaidia kutoa ufafanuzi wa kina. Naomba ufafanuzi juu ya hayo maswala tafadhali
Hivi majuzi nimechukua transcript ili nipeleke kwa mwajiri kwa ajili ya kupata tsd namba na marekebisho ya mshahara.Maswali yangu ni kuwa
1. Je nitafanikiwa kupata tsd namba nikiwa na
transcript ama mpaka niwe na cheti?
2. Kuna tetesi ambazo nimesikia kuwa siwezi
kufanyiwa marekebisho yoyote ya mshahara
mpaka nipeleke cheti je ni kweli?
3. Pia nimepata tetesi kuwa hata nikipeleka cheti
lakini itanilazimu kuajiriwa upya kama mtu
anayeanza kazi upya na wala hawata-consider
miaka niliyofanya kazi,je ni kweli?
Samahani kwa maelezo marefu, lakini naamini yatasaidia kutoa ufafanuzi wa kina. Naomba ufafanuzi juu ya hayo maswala tafadhali