cheki na mkurugenzi au utumishi wenu,je wewe binafsi umemaliza probation?na je hatma ya uyu mloazimwa inakuweje baada ya ww kuja? ila sijaelewa iyo ofisi yenu,inakuweje unaletwa mtumishi mpya kushika wadhifa na hawakupi mwongozo wa kazi?yan wewe ndo uhangaike?