Msaada juu ya Sheria ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB ACT)

Msaada juu ya Sheria ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB ACT)

Joined
May 26, 2013
Posts
67
Reaction score
14
Habari ya saiz wana jamii.

ninaomba msaada wa kisheria katika hili.

je HELSB ACT imetoa maelezo yoyote kuhusu mda ambao mtu anapoajiliwa anatakiwa aanze kulipa marejesho.
1. je ni kwamba ni lazima pale unapoaajiliwa tu uanze kulipa au
2. kuna grace period yeyote ambayo HELSB Act imetoa pale mtu anapoajiliwa mpaka ambapo anatakiwa aanze kulipa mrejesho,

please msaada.
 
Back
Top Bottom