Sheria ya ndoa ipo wazi kuhusu haki na wajibu katika ndoa, talaka na kuachana zinautaratibu wake. Hata kugawana mali pia kuna utaratibu wake. Hofu ondoa kuhusu kwenda mahakamani.
Kama unaugomvi au matatizo ya kuwaachanisha, hayo ni maelezo ya kiushahdi kama utafikishwa mahakamani. Tafuta thread ya "Sheria za ndoa" katika hii forum, kuna michango ya kutosha ilikwishatolewa kuhusu masuala ya ndoa, talaka, kutengana nk.