Nenda maabara ukapime hb, wakati mwingine manesi wanajisahau!Leo nmeenda kuanza clinic nmepima vpimo vyotee na kuchoma chanjo lakn huwa naskia ukianza clinic unapewa dawa za kuongeza damu...mie sijapewa ktu mepangiwa tu tarehe ya kurudi is it right au wamesahau mwenye experience naomba tushare
Aksante mama kijachoAcha hofu, hivyo vidonge wanapewa wenye matatizo, umeonekana uko fiti, hivyo fuata ushauri unaopewa na hao wataalamu usiongeze wa kwako kwa kuiga
Aiseeeee, haya matusi sasaAksante mama kijacho
Sio kweli vidonge vya kuongeza damu ni lazima kwa mama mjamzito anapoanza clinicAcha hofu, hivyo vidonge wanapewa wenye matatizo, umeonekana uko fiti, hivyo fuata ushauri unaopewa na hao wataalamu usiongeze wa kwako kwa kuiga