Akatanyukwilwe
Member
- Aug 1, 2014
- 34
- 14
Wapendwa, naomba mwenye kunisaidia juu ya hili, mke wangu anatokwa na maji meupe mazito yenye rangi ya maziwa yasiyokuwa na harufu ukeni. Naomba kujua ni tatizo? Na kama ni tatizo basi ni tatizo gani na tiba yake ni nini? Madaktari please nisaidieni, na wengine wenye uzoefu juu ya hilo naomba pia mnisaidie.