Msaada juu ya tcu

Baba advent

Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
72
Reaction score
16
Jamani naomba kusaidiwa kufungua a/c ya tcu kuna kipengele kinahitaji vocha namba sijajua hicho kitu kinapatikana wapi'kwa anayejua hiyo vocha namba inalkuwaje anielekeze.
 
Nenda crdb bank,znauzwa tsh 30000.
 
wakuu wameandika application for 2011/2012 ipo sawa kweli MSAADA plse!!!!!!!!!!
 
waliomaliza 2012 bado TCU hawajafungulia application!
ni vizuri ukisubiri results, kama alivosema mdau hapo huu tsh.30,000 itahusika pale CRDB.
nyie ni 2012/13 hao wa 2011/12 now ni 1st yr.
keep on waiting!
 
Jamani naomba kusaidiwa kufungua a/c ya tcu kuna kipengele kinahitaji vocha namba sijajua hicho kitu kinapatikana wapi'kwa anayejua hiyo vocha namba inalkuwaje anielekeze.

Mzee application imefunguliwa kwa wale waliohitimu miaka ya 1988 hadi 2011.Waliomaliza 2012 ni hadi matokeo yao yatoke. Vocha inauzwa NBC Tsh 30,000 na sio CRDB kama wanavyosema wadau. Nakushauri usome kwa makini sana ile "Student's Guidebook kabla haujaanza chochote! Maelezo yote yapo kule.
 
Shukrani wakubwa nimewapata.mi natakiwa kuapply sa ivi maana 6 nimeondoka 2006 na dip 2010.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…