MSAADA:JUU YA TOYOTA RAV 4

silent vin

Member
Joined
Jul 20, 2017
Posts
10
Reaction score
5
Nilikuwa nauliza kwa wanaoijua aina hii ya rav 4 kunijuza juu ya uimara wake kwenye road na maintainance yake
 
Hizo gari naziona gereji zimejaa.. wanasema zina sumbua sana engine. . Rav4 ngumu ni zile old model japo hiyo hapo kumwonekano ipo poa sana... ngoja wanaozijua zaidi waje..
 
Nakushauri gonga search button, zimeshajadiliwa sana humu.
 
Mkuu rav4 hazinaga shida wala usumbufu wowote
Zina sifa4
Unywaji wa mafuta
4WD pia ipo juu
Good for paking
Famjly car yaani ina nafasi ndani kubwa tu
Mkuu gari ni matunzo na kuijali service tu
Lkn rav4 ni roho ya paka[emoji1321]
 
Mkuu rav4 hazinaga shida wala usumbufu wowote
Zina sifa4
Unywaji wa mafuta
4WD pia ipo juu
Good for paking
Famjly car yaani ina nafasi ndani kubwa tu
Mkuu gari ni matunzo na kuijali service tu
Lkn rav4 ni roho ya paka[emoji1321]
Electric function yake ikifail utalia na ngae. Nimekuwa nayo miaka minne ilivyonigharimu najua mwenyewe. Magari karibu yote yanayotumia umeme ni shida. Kuna mafundi ambao nis special kwa haya magari ila wengi ni wale ma engineer walisosomea Mechanical siyo mafundi wa mitaani. Utaliwa.
 

Mkuu dunia ya leo gari zilizopo chini ni 85% zinatumia umeme(electric functions)fuel injections.Magnetor with Control Box
Hio yako ilikutesa kwasbb uliipeleka mafundi wa mitaani wakaikorokochoa CONTROL BOX naimani ulitamani hata uitupe gari
Gari za sasa ukishaona zinasumbua mpe fundi mwenye DIOGNOSTIC MACHINE anaicheki fasta tu tena gharama yake haizidi hata elf50, papo hapo anakwambia tatizo lilipo[emoji1321]
 
Ulivyosema ndo nilifanya lakini baada ya kunizimikia nikiwa porini. Ilibidi tuombe msaada kwa wapita njia wakawezakutusaidia ili tufike kwa huyo mwenye mashine.
 
Hapana sababu magari yetu yanafanyiwa service kwenye UN yard na kuna facilities zote.

Daaaahh[emoji35][emoji35]
Tena hao ndio ma Boy Spana usinitie jazba na hasira nikaikumbuka gari yangu Toyota hilux nlijipa imani na kamoyo ati mafundi wa UN *****
Havijui loooolooote[emoji13][emoji13]
Wale sio wapumbavu mimi ndio mpumbavu kuwapelekea wale[emoji1321]
 
Hahaha wenzio sasa wana engineers ambao wamesomea. Ila wacha tu.
 
Hiyo gari imepitwa na wakati. Simshauri mtu anunue RAV 4 au ESCUDO SUZUKI. Ni kama Landroveer 109. Zishapitwa na wakati na hakuna ushauri utakaokusaidia

Tchaaaaaaaaaaa..........unaendesha nini wewe......?....na sisi tulichambue........
 
Nilikuwa nauliza kwa wanaoijua aina hii ya rav 4 kunijuza juu ya uimara wake kwenye road na maintainance yakeView attachment 761021
Hiyo 3rd generation ya RAV4 ni nzuri sana na wala haina tatizo lolote ikiwa utaitunza zipo za all wheel drive (AWD) na front wheel drive FWD na ina engine ya 2AZ-Fe 2400cc vilevile 2GR-Fe 3500cc na ipo pia inayotumia diesel ingawa sio common sana.
Ina CVT gearbox ambayo ni very modern technology kuwa makini wakati wa kuchange gearbox oil usiweke hizi za kawaida utaiua haraka sana hakikisha unatumia Toyota CVT oil tu.
Mambo mengine ni ya kawaida kama fuel consumption ni nzuri kwa engine ya 2AZ but 2GR ina consumption ya juu kidogo ingawa iko very powerful
Chukua tu hiyo gari iko sawa tu but matunzo ni muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…