njoo kwetu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 801
- 1,795
Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamii forum...
Naomba niwakilishe tatizo hili.. nina mpenzi wangu ana tatizo la figo. Ameenda kwa madactari wamemwambia figo yake ya upande mmoja imeshuka kwa hyo hawezi kufanya kazi ngumu na wakati wa period anapata maumivu makubwa sana inapelekea mpka kushindwa kusimama kwa siku zote 4 anapokuwa period.
Naombeni ushauri wenu naamin humu kuna madactari wa zuri na wenye uzoefu... ni hayo tu.... naomba msaada..
Naomba niwakilishe tatizo hili.. nina mpenzi wangu ana tatizo la figo. Ameenda kwa madactari wamemwambia figo yake ya upande mmoja imeshuka kwa hyo hawezi kufanya kazi ngumu na wakati wa period anapata maumivu makubwa sana inapelekea mpka kushindwa kusimama kwa siku zote 4 anapokuwa period.
Naombeni ushauri wenu naamin humu kuna madactari wa zuri na wenye uzoefu... ni hayo tu.... naomba msaada..