Msaada Juu ya Upatikanaji wa Mbolea ya Samadi Songea.

Fursakibao

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
6,813
Reaction score
11,540
Wakuu habari za pasaka.

Kama kuna memebr yeyote humu amabe anatokea songea, naomba kufahamu juu ya upatikanaji wa mbolea ya samadi huko. au hata maeneo ya jirani.

Kwa kifupi nategemea kuanza organic farming huko na nitahitaji mbolea hiyo kwa gharama yoyote.

Asantene
 
Nenda sehemu inaitwa machinjioni kama unajua Top one hotel fika hapo uliza utakaemkuta jirani wapi Machinjioni utapata samadi ya ng'ombe.
 
Nenda sehemu inaitwa machinjioni kama unajua Top one hotel fika hapo uliza utakaemkuta jirani wapi Machinjioni utapata samadi ya ng'ombe.
Shukrani. mikifika huko nitapatafuta
 
Pia nenda peramiho shukia seminari kuu ulizia sehemu inayoitwa kizizini utaelekezwa n m 500 toka hapo utakaposhukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…