Msaada juu ya Usajili wa Majina

AnyWayZ

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2022
Posts
4,880
Reaction score
8,424
Naitwa DERICK REUBEN MBUYA kwa cheti cha kuzaliwa.
Lakini vyeti vyangu vyote vya shule vimeandikwa DERICK R MBUYA.
Manake Jina la kati limefupishwa kama R.

1. Nimefanya Applicationza chuo kupitia NACTE Hii issue ya jina hilo la kati inawezakusababisha nisichaguliwe chuo?

2. Na je pale kwenye space ya kujaza full name katka jina la kati napaswa kuandika REUBEN kama ilivyo katika cheti cha kuzaliwa au niandike R kama ilivyo katika vyeti vya Shule?

Msaada tafadhali.
 
Nazani hakuna tatizo ni kawaida vyeti Vingi hata vitambulisho jina la kati kufupishwa
 
Nazani hakuna tatizo ni kawaida vyeti Vingi hata vitambulisho jina la kati kufupishwa
Ikiwa hivo itakua fresh asee maana nmeish kutumia R maisha yote ya shule japo inatambulika ni Reuben
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…