MpakwaMafuta Member Joined Jan 28, 2011 Posts 42 Reaction score 14 May 1, 2014 #1 kuna mtu kaniuliza hili. Je nini madhara ya mimba kutungwa wakati wahusika wamelewa katika unywaji wa pombe wa mtoto hapo badae baada ya kuzaliwa? Na madhara mengine yaliyopo.
kuna mtu kaniuliza hili. Je nini madhara ya mimba kutungwa wakati wahusika wamelewa katika unywaji wa pombe wa mtoto hapo badae baada ya kuzaliwa? Na madhara mengine yaliyopo.
tpaul JF-Expert Member Joined Feb 3, 2008 Posts 24,225 Reaction score 22,632 May 1, 2014 #2 hakuna madhara yoyote mkuu, wewe endelea kukamua tu.
QALLI MIZOH JF-Expert Member Joined Mar 19, 2014 Posts 2,075 Reaction score 698 May 1, 2014 #3 tpaul said: hakuna madhara yoyote mkuu, wewe endelea kukamua tu. Click to expand... na ukiwa stimu za bangi je?
tpaul said: hakuna madhara yoyote mkuu, wewe endelea kukamua tu. Click to expand... na ukiwa stimu za bangi je?
HAZOLE JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 1,551 Reaction score 713 May 1, 2014 #4 tena inaleta stimu sana katika game, hakuna matata