Msaada: Kakataliwa kuomba chuo kisa ufaulu wa kidato cha nne

Msaada: Kakataliwa kuomba chuo kisa ufaulu wa kidato cha nne

STAPHORD MJ

New Member
Joined
Apr 4, 2015
Posts
3
Reaction score
5
Ndugu yangu amefanya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu kama Private Candidate na kufaulu kwa DIV 3 ya point 13, lakini cheti chake cha O-leve ana ufaulu wa masomo matatu tu yaani ana C za masomo matatu t.

Amejaribu kuomba chuo kimoja wamemwambia kuwa hana sifa kutokana na huo ufaulu wa O-level.

Sasa naomba ufafanuzi zaidi. Je, ufaulu unaoangaliwa hapo ni wa O-level au ni wa A-leve maana A-level amefaulu tu na ana sifa.

Ahsanteni.
 
Matokeo ya form 4 yana matter zaidi,vyuo kama udsm wana consider sana matokeo ya form 4.
ok lakini huyu yeye aliomba CUoM na RUCU ndo wamemwambia kuwa hana sifa ya kidato cha nne hali ya kuwa kidato cha sita ana sifa ya hizo point 4
 
ok lakini huyu yeye aliomba CUoM na RUCU ndo wamemwambia kuwa hana sifa ya kidato cha nne hali ya kuwa kidato cha sita ana sifa ya hizo point 4
Unatakiwa Olevel uwe na minimum ya 4 credit au principal pass. Sasa yeye ana 3 credit na pia ukute ni za masoma ambayo pia hayaendani na comb aliyosoma advance.
 
Ilitakiwa wakat anasoma private candidate advance awe anarisiti form 4 kupata walau D 1 au 2 hapo angekua n sifa
 
Ndugu yangu amefanya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu kama Private Candidate na kufaulu kwa DIV 3 ya point 13, lakini cheti chake cha O-leve ana ufaulu wa masomo matatu tu yaani ana C za masomo matatu t.

Amejaribu kuomba chuo kimoja wamemwambia kuwa hana sifa kutokana na huo ufaulu wa O-level.

Sasa naomba ufafanuzi zaidi. Je, ufaulu unaoangaliwa hapo ni wa O-level au ni wa A-leve maana A-level amefaulu tu na ana sifa.

Ahsanteni.
SUA NI EASY KUINGIA ILA KUTOKA SALAMA NI MAJAALIWA KWAHIYO MWAMBIE AGUSE SUA
 
ok lakini huyu yeye aliomba CUoM na RUCU ndo wamemwambia kuwa hana sifa ya kidato cha nne hali ya kuwa kidato cha sita ana sifa ya hizo point 4
Jaribu kuwa wazi, kidato cha nne alipata division gani ya point ngapi? Alifaulu masomo gani, na sasa anaomba course gani?Unaposema mara alipata credit, mara point nne hatuelewi tukushaurije. Mtu akipata credit tatu tu ni sawa na kupata div. IV. Point 29.
 
Ndugu yangu amefanya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu kama Private Candidate na kufaulu kwa DIV 3 ya point 13, lakini cheti chake cha O-leve ana ufaulu wa masomo matatu tu yaani ana C za masomo matatu t.

Amejaribu kuomba chuo kimoja wamemwambia kuwa hana sifa kutokana na huo ufaulu wa O-level.

Sasa naomba ufafanuzi zaidi. Je, ufaulu unaoangaliwa hapo ni wa O-level au ni wa A-leve maana A-level amefaulu tu na ana sifa.

Ahsanteni.
Vyuo vyote vikuu vinaongozwa kwa vigezo vya TCU (Tume ya vyuo vikuu) ambayo uweka vigezo. Kigezo kimojawapo ni ufaulu wa kidato cha nne. Sasa wewe kama alifeli sana kidato cha nne na hakufanya juhudi za kureseat kutafuta credit wezeshi alafu ukampeleka Advanced za private ambazo wao wanaangalia hela! Sasa hapo utakuwa umepigwa!
 
Ndugu yangu amefanya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu kama Private Candidate na kufaulu kwa DIV 3 ya point 13, lakini cheti chake cha O-leve ana ufaulu wa masomo matatu tu yaani ana C za masomo matatu t.

Amejaribu kuomba chuo kimoja wamemwambia kuwa hana sifa kutokana na huo ufaulu wa O-level.

Sasa naomba ufafanuzi zaidi. Je, ufaulu unaoangaliwa hapo ni wa O-level au ni wa A-leve maana A-level amefaulu tu na ana sifa.

Ahsanteni.
vigezo vya nacte form 4 lazma awe na pass ya masomo manne hatakama ana d4 bila ya somo la dini lakini hizo c 3 lazma ahangaike aisee
 
Kuna kipindi matokea ya kidato cha nne yalikuwa yanasoma kwa mfumo wa GPA ukiwa na C tatu ilikuwa umefaulu na unaweza kwenda A level
 
Matokeo ya form 4 yana matter zaidi,vyuo kama udsm wana consider sana matokeo ya form
Sio udsm tu bali ni mfumo wetu wote wa elimu inatakiwa awe na pass 5 za o-level kwanza ndo sifa zingine za ziada zinafuata
 
Back
Top Bottom