msaada kama naweza kumshtaki afisa utumishi wangu

msaada kama naweza kumshtaki afisa utumishi wangu

emkey

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
728
Reaction score
137
mimi ni mwajiriwa wa halmashauri ya ulanga, nimeanza kazi zaidi ya miaka 5 ilopita, sijapandishwa daraja kwa uzembe wa afisa utumishi wangu, je naweza kumshtaki na kumdai fidia kwa kunifanyia dhulma ya wazi wazi? naombeni mawazo yenye kufaa wanajf.
 
Kama unavielelezo, nenda kwenye chama chako kama ni cwt,talgwu,nk. Utasaidiwa,kabla ujaenda mahakamani.
 
Back
Top Bottom