Msaada: Kampuni gani nzuri ya tracking system kwenye magari kati ya hizi?

Msaada: Kampuni gani nzuri ya tracking system kwenye magari kati ya hizi?

Liky

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
431
Reaction score
255
Habari wakuu; ninataka kufunga tracking system kwenye gari yangu ndogo ambayo naikodisha. Nimegoogle nikapata kampuni kadhaa hapa (Cartrack, U-track, Afritrack, Wetrack). Ninaomba wenye uzoefu na hizi kampuni wanisaidie ipi hapa iko poa zaidi. Na kama kuna kampuni zingine pia naomba mapendekezo. Ahsanteni!
 
Zote zinafanana tu kwasabb vifaa ambavyo vinatumika ni hivyohivyo!!
Check nao cartrack au u-track
 
Nipe kazi nafunga car track system ya Russia bei poa
Screenshot_20200829-170356_Wialon.jpeg
 
The best ni tramigo
Habari wakuu; ninataka kufunga tracking system kwenye gari yangu ndogo ambayo naikodisha. Nimegoogle nikapata kampuni kadhaa hapa (Cartrack, U-track, Afritrack, Wetrack). Ninaomba wenye uzoefu na hizi kampuni wanisaidie ipi hapa iko poa zaidi. Na kama kuna kampuni zingine pia naomba mapendekezo. Ahsanteni!
 
Tramigo ni brand ya GPS device mdau kauliza local company inayofunga GPS
 
Tramigo ni brand ya GPS device mdau kauliza local company inayofunga GPS
Kabisa mkuu. Sitaki hizo za kuuziwa na wachina halafu platform isumbue baadae. Jamaa yangu mmoja alinnua china akaja kufunga, baadae ile platform ikawa offline so hawezi kuona gari yake. Ndo maana nataka local service provider ili niwe na uhakika
 
Nicheki 0764818022 tufanye kazi
Kabisa mkuu. Sitaki hizo za kuuziwa na wachina halafu platform isumbue baadae. Jamaa yangu mmoja alinnua china akaja kufunga, baadae ile platform ikawa offline so hawezi kuona gari yake. Ndo maana nataka local service provider ili niwe na uhakika
 
Hii yako inafanyaje kazi? Malipo ni bei gani?
Tunafunga gps unaweza nipigia kwa simu 0714890018. Bei nzuri na tracking platform ya uhakika bei aound 200,000 . Inategemea na features unazohitaji
 
Kuna jamaa alitaka kunifungia car tracking system akasema unalipa 200,000/= lakini unalipia ada ya kila mwezi; na mwingine akaniambia akifunga ndio basi hakuna gharama nyingine, hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom