Msaada: Kampuni inayosafirisha mizigo kwa Meli kwenda nchi za Uarabuni

Msaada: Kampuni inayosafirisha mizigo kwa Meli kwenda nchi za Uarabuni

Royal Warrior

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
1,166
Reaction score
2,143
Habari zenu wakuu,

Nahitaji kusafairisha kiroba cha kilo 50 (nguo) kuepeleka OMAN. Nipo Dar, ila kama hiyo kampuni itakua na branch Zanzibar itakua vizuri zaidi.

Mwenye kufahamu naomba anijuze.

Natanguliza shukrani
 
Habari zenu wakuu,

Nahitaji kusafairisha kiroba cha kilo 50 (nguo) kuepeleka OMAN. Nipo Dar, ila kama hiyo kampuni itakua na branch Zanzibar itakua vizuri zaidi.

Mwenye kufahamu naomba anijuze.

Natanguliza shukrani
Wale silent ocean nadhan wanasafirisha mpaka huko waone mkuu
 
Back
Top Bottom