Habari zen wana jf,
Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu,na iwapo nitafaulu ningependa
kusoma kati ya hizo course je ni ipi nzuri kwa upatikanaji wa ajira na
mshahara mzuri? Ushauri tafadhari!
Nursing ni miaka mitatu au minne. Bvm ni mitano ila kama uliacha physics form two nursing itakuwa ishu. Pia kama huwezi kuvumila kuona watu wakifa nenda bvm tu. Kitoweo nyumbani kwako kitakuwa hakikosekani.
Nikupe nini mkuu? Ushauri wako ni mzito sana!
nursing ni nzuri ila sio kama veterinary medicine!!! nursing ina ajira na zinalipa ila huwezi linganisha na BVM!!! kama una nia na kama utajitambua hasa ukiwa chuo nakushauri ukasome BVM!!! swali rahisi tu,,,ni vyuo vingapi hapa tz AU HATA africa mashariki vinatoa veterinary med(BVM) na vyuo vingapi hapa bongo vinatoa nursing??? USHAURI WANGU UKIFAULU KASOME VETERINARY MEDICINE(BVM).....all the best!!!!Habari zen wana jf, Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu,na iwapo nitafaulu ningependa kusoma kati ya hizo course je ni ipi nzuri kwa upatikanaji wa ajira na mshahara mzuri? Ushauri tafadhari!
BVM mtu wa CBG anasoma vizuri kabisa!!!Nursing ni miaka mitatu au minne. Bvm ni mitano ila kama uliacha physics form two nursing itakuwa ishu. Pia kama huwezi kuvumila kuona watu wakifa nenda bvm tu. Kitoweo nyumbani kwako kitakuwa hakikosekani.
BVM mtu wa CBG anasoma vizuri kabisa!!!
nursing achie wanawake, yeye akakomae na BVM kule university of assignments=SUAungelikuwa kwenye ambayo inategemea mifugo ktk uchumi wake kama Botswana
ningekushauri upige kitu cha sua cha BVM,kibofongo mifugo sio
kipaumbele cha serikali mzee,gonga nursing kwani hata mbefele ajira ni
za kumwaga na infact alhamdulilai inalipa,kazi ni kwako dogo
Habari zen wana jf, Nimehitimu kidato cha sita mwaka huu,na iwapo nitafaulu ningependa kusoma kati ya hizo course je ni ipi nzuri kwa upatikanaji wa ajira na mshahara mzuri? Ushauri tafadhari!