Msaada: Kati ya boda boda mpya 1 na used mbili ipi ninunue

Msaada: Kati ya boda boda mpya 1 na used mbili ipi ninunue

Aysenem

Senior Member
Joined
Dec 19, 2019
Posts
140
Reaction score
171
Wakuu za mwaka mpya,

Mwenzangu anataka kufanya biashara ya boda boda sasa ameniomba ushauri anunue used 2 au mpya moja na ana 1.8 M. Mimi nimemwambia anipe muda ili nimshauri vizuri, kwa kuwa mimi sijui chochote kuhusiana na biashara hii nikaona nije huku wakuu. Naomba pia kujuzwa utaratibu wa vibali

Nawasilisha
 
Inategemea ni used kiasi gani? Lakini kutokana na uhalisia ninavyojua hapa bongoland kuliko ununue used mbili aheri ununue hiyo mpya moja.

Ila angalia ni used kiasi gani na ikiwezekana tafuta fundi mwaminifu akusaidie kukagua kabla hujanunua.
 
Anunue mpya moja, unless kama anaziendesha yy mwenyewe hizo/hiyo used bodaboda
 
Back
Top Bottom