Mndengereko One
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 340
- 243
Zote hazikufai, tafta IST kwanza uzoee gariWakubwa naitaji kumiliki gari moja wapo kati ya hizi Subaru forester ya 2005 na Nissan dualis 2007 je ? Ipi inanifaa zaidi ikizingatiwa ndo mara ya kwanza kutaka kumiliki gari.
Nilitaka kujua kuhusu ubora ,gharama ya vifaa
Full StopZote hazikufai, tafta IST kwanza uzoee gari
Duuu Basi ngoja nitafute ist new model hata kwa mtu maana napenda gari yenye nafasi ndani ila nashukuru kwa ushauri
Hahah kama mfuko uko njema anza na Subaru tuMi naonaga IST imekaa kikekike sasa wengine sisi miraba minne kushuka kwenye IST daah.
Duuu umeuwa aisee,Ila madereva wa IST Wana fujo barabaran si mchezoZote hazikufai, tafta IST kwanza uzoee gari
Zote mikwaju kama una hela ya kununua hizo hutakosa hela ya kuzihudumia, mambo ya kuzoea gari sijui nini ni fikra tu za mazoea.
NB: Sina gari ila mfuatiliaje na nikupe hongera kwa kutaka kumiliki mkoko ukishanunua kuna ndugu yangu ana leseni hana kazi tunaomba umpe kazi ya kukuendesha.
SureZote hazikufai, tafta IST kwanza uzoee gari
hahaha man una majibu meusi kama vile unamjua mtoa post.Zote hazikufai, tafta IST kwanza uzoee gari
kujaa kitaa si tatizo . tatizo hapa performance wise.Forester zimejaa sana kitaa, chukua Dualis ule maisha
Hilo swali ni la mtu ambaye ana leseni ya daraja moja tu ππππ€π€π€ sasa subaru sijui na gari gani hizo zote zitamsumbua bila shaka! Anunue IST azoee gari kwanza maana kuanza na spear za laki 2/2 anaweza akaichukia garihahaha man una majibu meusi kama vile unamjua mtoa post.
huelezei in details why hizo gari zote hazifai.
nn tofauti na changamoto zake
Duuu umeuwa aisee,Ila madereva wa IST Wana fujo barabaran si mchezo
Forester zimejaa sana kitaa, chukua Dualis ule maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah jamaa umeamua kumkataa mwana hivi hivi.......Zote hazikufai, tafta IST kwanza uzoee gari
Sasa nafasi ndio kigezo cha kununua gari tena, unataka uweke meza, kitanda na makabati ya nguo au?!Duuu Basi ngoja nitafute ist new model hata kwa mtu maana napenda gari yenye nafasi ndani ila nashukuru kwa ushauri
Vijamaa vikipata tatizo kidogo tu hiyo barabara mjiandae foleni ya dakika chache utadhani kuna lori imepata breakdownDuuu umeuwa aisee,Ila madereva wa IST Wana fujo barabaran si mchezo