Msaada kati ya TV Hasence na TV Boss

Msaada kati ya TV Hasence na TV Boss

GPP1922

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
537
Reaction score
537
Tafadhali msaada kujua ubora wa TVs tajwa hapo juu ipi ina ubora mzuri. Ubora wa picha, uimara, bei, n.k nimeitoa LG na Samsung kulingana na bajeti yangu. Nataka kuchukua nchi 43.

NB: Don't mind about uandishi plz
 
Zote mbovu. Jinsi siku zinavyozidi kwenda mbele ndio utaona picha zinavyofifia. Baada ya mwaka mmoja ndio utaanza kuona matokeo yake.
 
Zote mbovu. Jinsi siku zinavyozidi kwenda mbele ndio utaona picha zinavyofifia. Baada ya mwaka mmoja ndio utaanza kuona matokeo yake.
Duh! Ushauri wako kiongozi TV gani yenye unafuu hasa hizi kichina?
 
Hisense kampuni kubwa kuliko boss. Uimara wa tv inategemea na matumizi yako pia. Chukua hisense, japo mimi pia natumia boss
 
Njoo nkuuzie LG 45 kwa 1.4M .bado ipo vzuri haina shida
LG nimeitoa kulingana na bajeti yangu, before nilikuwa nayo LG 32 iliungua taa nimempa fundi uchwara kahalibu kabisa sasa madogo janja wanachezea Kama toy.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

LG nchi 45 wewe umeitoa wapi?

Lakini pia ukienda dukani LG nchi 43 ni 1.05 M na nchi 49 ni 1.45 M

Mbona unataka kumuingiza mwenzio cha kike?
LG inchi 45? hii itakuwa ya msumbiji
 
Labda anamaanisha LG 43 ila kwa bei hiyo mkuu tafuta mwingine Mimi nitanunua za kichina
 
Chukua Hisense hakikisha unanunua kwa Wakala wa Hisense na sio duka la ma tv ya kila Brand,nenda kwa Dealer kabisa wa Hisense ambapo

ukiingia utakuta tv hisense,friji,pasi,radio,simu,nk yani kila kifaa cha hisense utakikuta hapo,Nunua TV yako ORIGINAL duka la namna hiyo utapewa Warranty Card 2yrs

Ondoka NA tv Yako katumie,nina uhakika kama huna nyota ya bundi utadumu na hiyo TV sana.Nimekushauri hivyo kwasbabu nina mabanda ya TV nimenunua Flat TV zaidi ya 10 katka zile TV zote

5 zilikua brand uchwara,soyi,LG copy,Samsung copy,blackstone,nk ila ninavyoandika hapa TV zote zimeshaenda kw fundi kwa matatizo ya hapa na pale,ila Hisense tangu nizitundike zilipo hazijawahi

kuguswa wala kumjua fundi mpk ukichungulia kwa nyuma ya tv kuna Vumbi 1 takatifu,ila zipo pale safi kbsa mwaka wa 4 huu unaenda.Muhimu tu Tambua jambo 1 Flat TV hazitaki kuhangaishwa mara huku mara kule. Ukiweza sharti hili 1 kuu Tv hata iwe copy grade K utadumu nayo TU.
 
Chukua Hisense hakikisha unanunua kwa Wakala wa Hisense na sio

duka la ma tv ya kila Brand,nenda kwa Dealer kabisa wa Hisense ambapo

ukiingia utakuta tv hisense,friji,pasi,radio,simu,nk yani kila kifaa cha hisense

utakikuta hapo,Nunua TV yako ORIGINAL duka la namna hiyo utapewa Warranty Card 2yrs

Ondoka NA tv Yako katumie,nina uhakika kama huna nyota ya bundi utadumu na hiyo TV sana.

Nimekushauri hivyo kwasbabu nina mabanda ya TV nimenunua Flat TV zaidi ya 10 katka zile TV zote

5 zilikua brand uchwara,soyi,LG copy,Samsung copy,blackstone,nk ila ninavyoandika hapa TV zote

zimeshaenda kw fundi kwa matatizo ya hapa na pale,ila Hisense tangu nizitundike zilipo hazijawahi

kuguswa mpk ukichungulia kwa nyuma ya tv kuna Vumbi 1 takatifu,ila zipo pale safi kbsa mwaka wa 4 huu.
Shukrani kiongozi kwa ushauri ambao unaendana na experience ya hizo brand tofauti. According to my budget let me buy Hisence. Nitaleta mrejesho
 
Pia kuna tv ina itwa skyworth hii nayo ni tv bora sana na ukinunua hutajutia bro ina quality ya picha na sauti bora sana warant ni miaka miwili
 
Back
Top Bottom