Msaada katika hili jamani.

MALI YA BABA

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
459
Reaction score
119
Habari zenu wakuu,kuna jirani yangu jamani anatatizo la maralia na kila wakati akienda hosptal anapewa dawa au anaandikiwa sindano na anapona kabisa ila utashangaa imepita wiki anaugua tena maralia tena kali sana..sasa ni dawa ipi atumie jamani mana sasa imekuwa kama maralia sugu....kwa sasa dawa anazotumia sana ni dawa mseto,net anatumia usafi wa kuzunga nyumba ni wa kutosha sasa tatizo ni nini jamani? natanguliza shukrani zangu kwa majibu yenu.
 
Humu umekosea njia,
mwambie akamuone daktari.
 
Hizo dose za mseto sio woote wanaotumia wanapona,laa hasha bali baadhi ya watu ndio wanashindwa kabsa kupona hata kama kanywa mseto mpka baasi.cha msingi aende hosptali ya wilaya akaonane na daktari atasaidiwa.pole kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…