hivi jamani naomba nisaidiwe napata shida katika namna itumikayo sasa kusahihisha mitihani uhusuyo masomo ya lugha je ni sahihi kusahihisha jibu tu? au pengine kufuatilia neno kwa neno ili kuchunguza mantiki ya lugha ilotumika na pengine hata kukosoa kwa lengo la kufundisha? okoa mimi katika hili