Mimi Sio dr lkn ntakusaidia kwa jinsi ninavyojua UTI husababiswa na uchafu wa nguo za ndani,maji tunayooga kwann
maji ya kunywa tunachemsha kuua bkteria yakuoga je? Wadudu wanaangia kuptia njia ya mkojo sasa usije kuuliza
kwann watu hawapat u.t.i kwa kuoga maji haya!?
Kwa wanawake nao wanapojisaidia haja ndogo, mkojo unapogonga chini na kurudi juu!
Maji tunayojitawaza yakigusa kwenye uume/uke
wale wanofanya ngono kinyume na maumbile
kitu kingine MAJI ya kunywa hapa ndo wengi tunapo feli kunywa maji wengi hatumywi hasa kipindi cha baridi unakuta mtu anakwambia siposikia kiu hata wiki anakaa! Wengine maji ya kunywa ni soda
sasa hayo yote tutayakwepa kunywa maji sana maji hakikisha kwa siku hata lita 4
Achana na dhana ya primary eti wakati jua kali mkojo wa njano na wakati wa baridi mkojo mweupe kama maji!!
na dalili zake ni homa kukojoa mkojo unawasha
kukojoa mara kwa mara!