KILITIME
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 265
- 18
Kwa heshima na imani kubwa sana ambayo ninayo naomba mnisaidie maana ya maneno yafuatayo na tofauti zake 1. NDOTO 2.MAONO maana yananitatiza saaana pia nawaomba mnielezee Maana halisi ya CHOTARA na je ni sahihi kuita mazao au wanyama wengine CHOTARA?????????