JAMANI KWA YEYOTE ALIYE APPLY KAZI UBALOZI WA KANADA NAOMBA MSAADA JINSI YA KU APPLY MANAKE WAMESEMA
HII NDO JISI YA KUAPLAI
Application Instructions:
Please send electronically your CV, two (2) references and a brief letter describing how you meet the screening requirements for this position to: dslam-job@international.gc.ca.
Applications sent by mail or in person will not be accepted.
HAPA SIJAWAELEWA NAOMBA MSAADA
tuma hizo decument wanazozihitaji kwa email waliyotoa usitume kwa posta au kupeleka kwa mkono
kuna watu vilaza kweli sijui wamesoma wapi na huko shuleni wamejifunza nini manake taarifa iko wazi wao wanauliza!
au alitaka kutuma kwa njia alizokariri hajaona postal address so amechanganyikiwa!!!
Au ndo hawa hawa akina Mulugo?
Pole kumbe kilaza mwenzako mimi hai-make semse taarifa iliyopo waziunauliza, inaelekea hata kazi zake atakuwa anauliza apewe maelezo...Unaweza ukawa umesoma ila ukawa haujaelimika na maneno yako yanaonyesha hivyo mtoa maada kauliza vizuri mjibu vizuri na huo ndio ustaarabu unaofundishwa mashuleni personality, and Attitude wewe umekosa hayo
Mwenye hizo position aweke basi na sisi wadau tutume maombi!
Cha kuuliza hapo ni kipi? watu wa aina hii wapo wengi na hujidai wajuwaji sana kwa kawaida.Unaweza ukawa umesoma ila ukawa haujaelimika na maneno yako yanaonyesha hivyo mtoa maada kauliza vizuri mjibu vizuri na huo ndio ustaarabu unaofundishwa mashuleni personality, and Attitude wewe umekosa hayo
Cha kuuliza hapo ni kipi? watu wa aina hii wapo wengi na hujidai wajuwaji sana kwa kawaida.
Applications sent by mail or in person will not be accepted.