mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,192
- 5,743
Wakuu, Heri ya mwaka mpya. Please naombeni kufahamu kodi inayotakiwa kulipwa TRA kama unataka kufungua Consultant Firm. Nina imani wapo wengi ambao ama wanafanya shughuli hii au wana uelewa na hii kitu naombeni msaada wenu.
Wapo wengi watakaouliza mbona usiende TRA kupata taarifa? Nimeona ni vyema kuwa na information kwanza kabla ya kwenda huko maana ninaweza kwenda kichwa kichwa nikapigwa kodi ya ajabu.
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada wenu..
Wapo wengi watakaouliza mbona usiende TRA kupata taarifa? Nimeona ni vyema kuwa na information kwanza kabla ya kwenda huko maana ninaweza kwenda kichwa kichwa nikapigwa kodi ya ajabu.
Natanguliza shukrani zangu kwa msaada wenu..