Mkuu mbona usha jijibu wewe nenda TRA utapata kila kitu, Kuna kitengo cha Elimu kwa walipa Kodi utapata hadi Vitabu vya kuleza jinsi ya Kulipa kodi, na TRA c wenda wazimu kwamba wakukadirie kodi ya Juu, na hata hivo TRA hukadiria watu kwa sababu watu huficha baadhi ya Information but ukiwa unaendesha Biashara yako kisasa na mahesabu ako yana be Audited hutakadiriwa hata siku moja bali utalipa kile kilichopo