Msaada; ...kiatu changu!


Chezeni peku peku tu! Ila ushauri muwe na umakini kwa kuangalia stepu na style zisifanane tena.
 
...daah, this is deep maazee! safi sana.
Nitasubiria usingizi ukuishe...mimi ushaniruka na mapeema!

nilisema nitarudi ila nimehairi coz nimekuwa tofauti na wote
 
Reactions: Mbu
Chezeni peku peku tu! Ila ushauri muwe na umakini kwa kuangalia stepu na style zisifanane tena.

Mchungaji samahani naomba kucheka kwenye misa....hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa wewe ndo umetoa perspective tofauti na wote loh.............Mi ctaki bwana ah
 
Mbu...Mhhhhhh,

Mzee hana hata la kusema...

Kwa nini wewe na mwanao mnazurura kwa watu au na nyie ni ..koko??? Nakushauru uachane na huyo mbwa. Hata hivyo ukome kwenye kwa watu tena wanaofuga mbwa koko!!


Mzee DC
 
Reactions: Mbu
...Kama alivyo hint Mkwaruzo kwenye post yake ya awali, nimekwenda deep kidogo into spirituality. Haya mambo saa nyingine inabidi tukubali tuna sixth sense zinazotupa messages maishani.


...:A S 39: mnnnhhh,....now am trying to figure out jibwa koko linaingiaje hapa;


...khaaa?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…