Msaada: Kichwa kuuma na mwili kulegea baada ya kufanya ngono

jac salum

Senior Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
183
Reaction score
129
Mimi ni mvulana umri 26. Kila ninapofanya ngono na msichana huwa natumia muda mrefu kufika kileleni na nikishakojoa huwa natokwa na jasho sana, wakati mwingine kichwa kinauma sana pembeni mwa paji la uso juu ya sikio.

Jasho linaongezeka mwili nzima, ghafla napata kizunguzungu na wakati mwingine nalegea na kulala sakafuni. natumia dakika 1 au 2 au 3 kurudi katka hali yangu ya kawaida.

Na huwa sitosheki kungonoka bali nachoka na kuamua kuacha kwa wakati huo.

Mara ya kwanza kuhisi tatizo hili ilikua 2014, Nimevumila kwa muda mrefu nimeona bora niweke mambo hadharani.

NAOMBA MSADA WENU KWA MWENYE UFAHAMU JUU YA TATIZO NA NIFANYE NINI ILI NIONDOKANE NA HILI TATIZO!
 
usifanye asubuhi.....
 
Nenda hospital kapate ushauri wa daktari
 
unaburn callories nyingi kuliko kiwango unachoingiza mwilini.
 
unajua bao moja linaconsume callories sawa na mtu aliyekimbia 45km... so kama unakula vyakula ambavyo haviwezi atleast kukupa callories 2000kca kwa siku then you are in trouble
 
Miaka 26 bado ni mvulana? Members naomba msaada ni mimi sijui au, 26 ni kijana au baba kabisa anyway pole mvulana
 
Sikiliza jitahid kunywa maji mengi, matikiti kwa sana
 
Hauli ukashiba kisha unatiana kama upo kwenye mashindano. Huo mchezo hauhitaji kukomoa GO SLOW
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…