Msaada kihusu ma group ya damu hasa group 0+

Norshad

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
5,211
Reaction score
12,538
Mimi nina damu group 0+ na mke wangu pia ni group 0+ je haweizi mletea shida ktk ujauzito wake?

natamguliza shukrani
 
Mimi nina damu group 0+ na mke wangu pia ni group 0+ je haweizi mletea shida ktk ujauzito wake?

natamguliza shukrani
Shida gani mkuu?
Kwani unatoa shaahaw za damu?
Fafanua kidogo.
 
hapana, niliwahi soma sehemu kuwa haya magroup huwa na shida kwa baadhi ya watu, wengine mimba huaribika sababu ya kutofautiana haya ma group sina uhakika sana na hili na ndio maana nimekuja huku naamini nitaeleweshwa vizuri Zaidi ya nielewavyo
 
Mimi nina damu group 0+ na mke wangu pia ni group 0+ je haweizi mletea shida ktk ujauzito wake?

natamguliza shukrani
Hapo hamna shida mkuu,ingekua tabu kama mkeo angekua na 0-.
 
ila wakuu naona group O linawatu wengi sana coz mi na wanafunz wenzangu kama 10 tulienda pima tukakuta sote tupo kweny group O,
 
Mimi nina damu group 0+ na mke wangu pia ni group 0+ je haweizi mletea shida ktk ujauzito wake?

natamguliza shukrani
Hapo ondoa shaka mkuu hakuna tatizo lolote linaloweza kutokea.....lkn kua mwangalifu watoto wako wote lazima nao wawe O grp la sivyo hainaga ushemej imehusika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwani kuna shida gani hapa mkuu?
Mwanamke akiwa na - yeyote hata kama sio O kuna reaction inatokea kwenye damu ya mtoto so kuna uwezekano wa kutoka mimba. Ndo maana mama mjamzito akienda kliniki ya kwanza tu akipata ujauzito lazima apimwe blood group na kama ana negative kuna sindano atachomwa kuzuia hiyo hali. Dawa yake ni sindano
 
Mkuu muongeze mimba nyingine ajifungue pacha kabisa maana risers factor zenu sawa kabisa!
 
Hilo ni swali technical, especially kama nyote na group O na same Rh factor kwenye first pregnancy, hebu Ingia Google yako maelezo ya jinsi ya ku deal na hiyo situation kwa wenza in first pregnancy.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…